Jumapili, 15 Juni 2014

HANCY AFICHUKA KUHUSU MAHUSIANO YAKE

  Kijana Anaekuja kwa kasi HANCY ABDILLAHI katk tasnia hii ya habari kwa sasa aingia ktk dimbwi zito la penz na msichana mrembo ambae hakutaka kulitaja jina lake ila alicho sema ni kwamba muda ukifika atamuweka bayana akizungumza na chanzo chetu cha habari Hancy alisema........

    ..Imefika kipindi ambacho natarajia kuwa na Mwenza wang ili kuyaendesha Maisha yetu ya badae ikiwa ni pamoja na kutengeneza ama kuunda familia yetu ya badae.
alisema hancy....

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni