Jumanne, 20 Mei 2014

HII NDIO SAFARI YA MWISHO YA MUIGIZAJI NA MUONGOZAJI ADAMU KUMBIANA

Mei 20 saa 9 alasiri ndiyo safari ya mwisho ya Muongozaji na Muigizaji kutoka kiwanda cha.filamu Tanzania Adamu Philip Kuambiana Ambae amepumzika kwenye makaburi ya kinondoni.Mahali alipozikwa Msani Mwenzake STEVEN KANUMBA.
Ujumla wa watu waliojitokeza niwengi sana hasa wasanii wa filamu ambao asilia kubwa wamejitokeza kumzika ADAM KUAMBIANA.

Hizi ni baadhi ya picha za kuanzia leaders wakati wa kutoa heshima za mwisho mpka anazikwa kweny makuburi ya kinondoni

....................................................................

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni