Jumatatu, 19 Mei 2014

MISS RUVUMA AANIKA NYETI HADHARANI...

Miss Ruvuma 2006,Isabela Mpanda amedhihirisha jinsi asivyo jieshimu baada ya kuvua Nguo hadharani na kuacha nyeti zake nje bila kujali watu waliokua wakimshangaa.
  Tukio hilo la kushangaza lilitokea alhamisi iliyopita kwenye ukumbi wa Mawela uliopo sinza,Dar ambako kulikua na kitchen party ya mwigizaji Vanita Omary ambapo Isabela aliwashangaza watu baada ya kuacha nyeti zake nje.

Bila chembe ya aibu Isabela akivalia gauni fupi akiwa tilalila,alikua akicheza muziki huku akinyanyua gauni lake juu na kuacha sehemu nyeti za makalio nje na kusababisha kufuli ya muundo wa bikini kuonekana. Ishu hiyo ilizua mnong'ono kwa baadhi ya wageni waalikwa na kubaki wakimshangaa kwa kitendo hicho. Akiwa anafanya tukio hilo la kujifunua alisikika akisema amepania sherehe hiyo kwani yeye ndiye wifi wa Vanita na kama muigizaji Jackline wolper aliacha kufuli lake kubwa wazi na yeye aliamua kuonesha lake aina ya bikini nje ili lionekane kwani ni la bei kubwa

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni