Jumamosi, 26 Mei 2018

BREAKING NEWS.........!!!!!



Habari kwa watu wa nguvu sio mwingine niyule yule Hancy Abdillahi kijana anae kuja kwa kasi hapa nchini kupitia tasnia ya habari Ni baada ya kukaa kimya kwa mda mwingi sana sasa kijana amerudi tena na kusema ya kwamba "Siku zote kimya kingi kinamaana Kubwa sana hivyo napenda kuwa ahidi marafiki zangu pamoja na Watu wangu wangu woootee mnao nikubali, now ni mda wakazi so tujiandae tufanye kazi nahitaji surpot yenu
Katika Blog ya HANCYBLOG kupitia link ya www.hancyabdillahi.blogspot.com
Unaweza jipatia habari na burudani kem kem kutoka kila kona ya dunia bila kusahau Ku subscribe video zangu kupitia YouTube (Hancy Abdillahi) pia waweza nipata kupitia Facebook (HANCY_BOY_TZ) Instagram (OFFICIAL_HANCY_BOY) twiter(HANCYABDILLAHI2)
Email..Hancyabidillahi@gmail.com
Pia waweza tangaza biashara zako kupitia Blog yetu kwa gharama nafuu kabisa pia waweza nicheki whatsap kwa #0672 868 454.... 

Wote kwa pamoja tukishirikiana tunaweza!

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni