Alhamisi, 9 Novemba 2017

HANCY ABDILLAHI is back

  Habari watu wangu wa nguvu ni Natumaini mko poa Now nimeback tena katka tasnia ya Habari nikiwa katika harakati za kukamilisha usajili wangu na kujitangaza nchi zima Nikiwa kama kijana mwenye harakati na malengo ya kufika mbali nitahakikisha na pambana na kutimiza malengo ya yangu mkiwa kama shabiki wangu nawaomba surpot yenu ili kufanikisha malengo yangu yatimie.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni