Alhamisi, 19 Desemba 2013

HABARI KWA WATU WANGU WANGUVU

Mambo vp watu wangu wa nguvu? naona mko pouwa ile kinoma sana.

Nawaombeni radhi sana kwa kipind kifupi hichi kifupi ambacho nimekua kimya kwa kutowapa habari kemkem kwan kuna tatizo kidogo ambalo lipo nje ya uwezo wangu ila na waahidi mambo yatakaa saw mda sio mrefu na habari zitakua zikiruka hewan ktk mitandao.
Nikiwa na jiandaa kuweka mambo saw na kuboresha mambo nitakuwa nikiwadokezea hari katk page yangu ya hancy fun page &my facebook account Hancy Abdillahi.

TUKO PAMOJA

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni