Jumapili, 15 Desemba 2013

SIMBA WA AFRIKA NELSON MANDELA APUMZISHWA LEO KATK NYUMBA YAK YA MILELE

Rais wa afrika kusin bwana nelson mandela amezikwa leo ktk kijiji chao alicho kulia huko Qunu nchin Afrika kusin.Madiba alikua kiongoz shupavu,jasiri,mwenye hekima na alikua mtu mweny kuchukia ubaguzi wa rangi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni