Jumatano, 9 Aprili 2014

MZUNGU KICHAA AMCHANA ALI KIBA......

Kati ya vitu ambavyo husaidia kuongeza thamani ya Msanii katika macho ya mashabiki ni pamoja na watu kuona akipata dili kubwa na kulipwa pesa nyingi  katika show lakini kumekuwepo baadhi ya wasanii ambao wakati mwingine hutengeneza mazingira ya uongo hasa kupitia mitandao ya kijamii na wengine hata kufanya interview ili tu kufanya watu waamini kuwa thamani yao iko juu.
  Mzungu kichaa yuko tofauti kidogo katika hilo,sababu haoni sababu ya msanii kudanganya kwa kila kitu ambacho sio kweli.Msanii wa Denmark aliyeishi Tanzania kwa miaka mingi alizungumzia swala hilo katika kipindi cha sporah.
  "Mimi siwezi kwenda kwenye vyombo vya habari nakusema ooh nimetengeneza millioni mia kwenye show halafu media zote ziseme 'oooh wow....' kama alivyo fanya Ali Kiba kipindi fulani"alisema mzungu kichaa
"Alisema alikua anataka kwenda kufanya show ujerumani na alikuja kusema ameahirisha kwenda,tena aliahirisha siku moja kabla,na kusema kuwa angelipwa shilingi milioni 100....kwa hiyo akadai kwamba alikua anapewa hiyo hela lakini mikataba haikwenda kama ilivyotakiwa aliahirisha show siku moja kabla na kama Mwanamuziki mimi najua jinsi mambo ambayo hua yanakuwa siamini watu waliokuwa tayari kumlipa kiasi cja pesa kama hicho na kwa wao kutafuta media publicity kupreted we are getting big money to perform nadhani hilo ni kosa.

Jumanne, 8 Aprili 2014

NGASA AMZAWADIA WEMA MPIRA WA HATITRICK.....!!

Mchezaji wa timu ya Soka ya Yanga Mrisho Khalfani Ngasa alifanikiwa kufunga (hatrick)mabao matatu katika mechi dhidi ya Jkt Ruvu,lakini ametoa kauli kwa kusema kuwa mpira alio kabidhiwa kwa kufunga mabao hayo anampelekea shemeji yake Wema Sepetu.Akizungumza baada ya mechi hiyo ya ligi kuu Tanzania Bara iliyo malizika kwa timu yake kushinda jumla ya mabao 5-1 Ngasa huku akionyesha kuwa na furaha,alisema kuwa mpira huo umeongeza hamasa kwa timu yake;lakini moja kwa moja atampelekea Wema ambaye ni mpenzi Wa Msanii Diamond. "Mashabiki hawatakiwi kukata tamaa ba timu yao,sisi tunapigana mpaka dk ya Mwisho ilikuhakisha tunashinda mechi zote.Wakati Mwingine tunashindwa kucheza vizuri mikoani kwa kua viwanja vinakua havina ubora mzuri." Yanga imepata ushindi wa Mabao 5-1 dhidi ya Jkt Ruvu na hivyo kuamsha mbio za ubingwa dhidi ya Azam ambao ndio vinara wa ligi hiyo,lakini Juma Kaseja na Mshambuliaji Raia wa Uganda Emmanueli Okwi hawajakuepo kwenye kikosi kilicho anza wala kwenye benchi.

WAASISI ZANZIBAR WATOA YA MOYONI

... Rais wa Zanzibar na Mwenyekit wa Baraza la Mapinduz Dk All Mohamed Shein (katikati)akiungana na viongoz wananchi katika kisomo cha hitma iliyosomwa jana ukumbi wa Ccm kisiwandui Mjini Zanzibar wengine ni mastaafu wa Zanzibar Dk Amani Abedi Karume,Makamu wa Rais wa Tanzania Dk Bilalli,Makamu wa pili wa Rais Zanzibar Balozi Seif Ally Iddi. Mke wa Marehem Abeid Amani Karume ,Mama Fatma Karume aliwataka vijana kuyaenzi Mapinduz ya Mwaka 1964Kwa kuacha chuki za ukabila,kidini ambazo zina wezakuleta mgawanyiko wanchi wa jamhur ya muungano wa Tanzania aliyasema hayo katka hitma ya hayat karume alieuawa kikatili aprili 7 mwaka 1972 katika jengo la ofis ya Ccm kisiwandui pamoja na viongoz wengine wa chama cha Asp. katika mashambulio hayo aliyekua katbu mkuu wa Asp Shekh Thabit Kombe aliye jeruhiwa kwa kupigwa risasi ya mguu "vijana tuachane na chuki za ukabila na za kidini ambazo zinaweA kuleta mgawanyiko wa wanachi wetu wa jamhuri ya muungano wa tanzania tuishi kama walivyo tuagiza waze wetu alisema. Hitima hyo iliongozwa na kadhi mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji na Kuhudhuriwa na viongoz wa kidini na Serikali,akiwemo Rais wa Zanzirb Dk Alli Mohmedi Shein na wa jamhuri ya muungano wa tanzania Jakaya Kikwete. Katika maelezo yake Mama Fatma alisihi vijana kuishi kama alivyofikiria muasis huyo wa mapinduz ya Znzibar ya kutokuepo kwa ubaguzi wa aina yoyote ile. Alisema ukombozi wa nchi ya Zanzibar umeletwa na mapinduzi ambapo kabla ya hapo hakuna Mwananchi aliyekua na uwezo wa kumiliki ardhi kwa ajili ya kujenga nymba au shughuli za kilimo. "Tunapomkumbuka hayati karume basi tunatakiwa kuyaenzi yale mambo yote mema ambayo yeye aliyasimamia kwa kipindi chote cha uhai wake alisema mama Fatma. Alisema karume alichukia chuki na ukabila zilizo wabagua Waafrika ktk nchi yao.Mambo ambayo kwa kiasi kikubwa ndiyo yaliyo sababisha kufanyika kwa mapinduzi ya Znz ya Mwaka 1964 yaliyoongozwa na karume. Ame.Ambae alipata kushika nyadhifa mbalimbali ktk chama cha asp hadi Cham Cha Mapinduzi alisema karume mara baada ya kuongoza dola alitekeleza manifesto ya chama cha Asp ambayo iliweka kipaumbele suala la wazalendo kumiliki ardhi ambayo ndio uti wa mgongo wa nchi. Katika ghafla hyo Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete ameongoza wananchi nbalimbali katika hitma ya kumbukumbu ya kifo cha rais wa kwanza wa Zanzibar Abeid Amani karume iliyo fanyika ktk ofisi kuu ya ccm kisiwandui mjini zanzibar. Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein aliweka shada la maua katika kaburi la mrehem lililopo pembeni mwa jengo la ofisi kuu ya ccm kisiwandui. Aidha Rais Kikwete aliweka shada la maua katika kaburi la marehemu ambae hadi anauawa alikua makamu wa rais wa Jamuhur ya muungano wa Tanzania

Jumapili, 6 Aprili 2014

Matokeo ya Uchaguzi Jimbo la Chalinze ya zidi kuongezeka

  Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK.JAKAYA MRISHO KIKWETE akisoma karatasi ya kupigia kura kumchagua Mbunge wa jimbo la chalinze kwenye kituo cha kupigia kura cha zahanati MSOGA

# Rais jakaya mrisho kikwete akiwa kwenye chumba cha kupigia kura za kumchagua mbunge mpya wa jimbo la chalinze# Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitumbukiza karatasi yake ya kura katika sanduku la kura akimchagua mbunge wa jimbo la Chalinze # Mke wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Mama Salma Kikwete nae akitumbukiza karatasi yake ya kura katka uchaguz wa mbunge jimbo la Chalinze# Aziza mtoto wa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze kupitia CCM Ndugu Ridhiwani Kikwete akimsaidia baba yake karatasi yakura katka sanduku la kura.Ridhiiwa alijipigia kura yake mwenyewe kata ya bwilingu# Mgombea wa ubunge jimbo la Chalinze Ndugu Ridhiwani Kikwete akihakiki taarifa zake kabla ya kupiga kura kwenye kituo cha ofisi ya mtendaji kata namba 3Bwilingu Chalinze# Mgombea wa Ubunge Jimbo la Chalinze kuipitia chama cha Afp ndugu Ramadhani Mgaya akizungumza na waandishi wa habari nje ya kituo cha ofisi ya mtendaji kata namba 1nakusema kuwa chama chake kitakubali matokeo yote napia kama watashindwa watajipanga kwa ajili ya uchaguzi mkuu 2015.# Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Jimbo la Chalinze Ndugu Samweli Salinga akizungumza na waandishi wa habari na kutoa tathimini ya Jinsi zoezi la upigaji kura lilivyoenda. "Wananchi wa jimbo la chalinze wamemaliza kupiga kura ba tayari baadhi ya vituo matokeo yameanza kujulikana ambako matokeo hayo sio rasmi yanaonyesha Mgombea wa CCM Ridhiwani Kikwete anaongoza na wengine wakimfwata nyuma.

NIMEREJEA KWA KISHINDOOO

  Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu sasa nimerejea kwa kishindo wapenzi wa habari ninapenda kuwa ambia kwamba sasa niko fulu niko tayari kuwapa habar mbali kutoka kona zote duniani.

Hapa utapata habari mbali mbali za kusisimua.Nili banwa sana hap katika lakin na mshukuru mungu mambo ya naenda salama msijali ma funs wangu tuko pamoja.sasa nimerejea kwa kishindo kikubwa mimi kama  #>>HANCY ABDILLAHI<<#>>blue<<nitahakikisha mnapata habari kemkem kutoka hap katka blog yangu.