Jumatano, 27 Novemba 2013

Baada ya kulinasa penzi la Bond,Wastara aonywa kuhusu Ngono za. kinyume na maumbile.

Msanii nyota kwenye kiwanda cha Bongo Muvi Wastara amepewa tahadhari kubwa na mashabiki wake kuhusu mpnzi wake mpya ambae ni prodyuza wa filamu.aliye fahamika kwa jina la Bond Bin Sinnon kuwa amekuwa akipenda sana mapenzi kinyume na maumbile.

Habari nilizo ziipata zina sema Bond ambae aliwahi kua na mahusiano ya kimapenzi na mtangazaji Lulu Semagongo kwa zaidi ya miaka 4 na nusu ambae aliwahi kukiri kwenye vyombo vya habari hasa magazeti pendwa kuwa yeye mzuka wake ni kufanya mapenzi nyuma ya maumbile tangu akiwa mdogo.Hivyo basi hali imetiliwa shaka na mashabiki wa Wastara kuwa kwa vile wawili hao wameonekana kuwa na mahusiano ya kimapnz basi dhahiri kuwa wastara awe makini la sivyo kijana huyo anaweza kuendeleza tabia yake hiyo aliyo kuwa anaifanya kwa lulu.

Inasemekana Bond ambae tangu aachane na Lulu hakuwahi kuwa na mpenzi hata siku moja"huyo Bond anaogopwa sana na mabinti kwa sababu ya kauli ya Lulu alipotangaza kuwa yeye mzuka wake ni kufanya mapenzi kinyume na maumbile hivy hakuna msichana yoyote anaemkubali kwa hofu hiyo hivyo hata Wastara tunashangaa wamepatana kiasi hicho" kilisema chanzo kimoja.

Mahusiano ya Bond na Wastara yalianza kwa siri sana lakini sasa hivi kila kitu wazi hadi ndugu wa wastara wanamjua Bond kama shemeji yao.
Mapaparazi walifunga safari hadi Tabata jirani na anapoishi Wastara ilu kupata ubuyo(umbea).majirani walifunguka.
"Aah na nyie waandishi mko wapi siku zote bwana?Wastara na Bond ni mke na mume mbona wala hakuna kificho tena Wastata sasa amerejesha furaha ya maisha kwa malavidavi ya Bond ambapo waishi pamoja kupika na kupakua

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni