Jumapili, 24 Novemba 2013

p-square. wafanya yao

Mkuu wa kitengo cha vodacom foundation,Yesaya Mwafifulefule wakipeana mikono na wasanii kutoka nchini Nigeria(Peter&Paul Okoye) P-square. Wakati walipo tembelea kituo cha watoto wenye ulemavu wa utindio wa ubongo cha Msimbazi Mseto jijini dar es salaam,ambapo wasanii hao walitoa msaada kwa watoto hao wenye ulemavu huku ikiwa ni njia moja ta kushiriki kazi ya jamii

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni