Jumapili, 24 Novemba 2013

Je wajua kilicho waponda Zitto na wenzake.

Juzi uongozi wa Chadema ulichukua hatua kali za kuwavua nadaraka ndani ya chama hicho vigogo watatu.Naibu katibu mkuu Zitto Kabwe,Mjumbe wa kamati kuu,Dk Kitilla Mkumbo na Mwenyekiti Mwigamba.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni