Ijumaa, 22 Novemba 2013

Kimenuka chadema

Jinamizi Lazidi kuitafuna CHADEMA...Baada ya Zito kuvuliwa nyadhifa zake zote Ndani ya chama, Makamu mwenyekiti CDM bara naye atangaza kujiuzulu Leo..!!: kwa habari zaidi hapa http://www.gumzolajiji.com

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni