Jumapili, 24 Novemba 2013

HATA SS TUNAWEZA BANAA

Katika hali ya kushangaza zaid Mama mmoja mwenye ujauzito afanya kitu ambacho kili waacha watu midomo wazi wakushangaa junsi mwana mama huyo akifanya mazoezi,mwana mama huyo mjamzito alikua akifanya mazoez ys kuinua chuma juu.
Alipo kua akiulizwa maswali Mama huyo alijibu kuwa anafanya mazoezi.

hapa kweli lazima tuukubali ule usemi usemao hata ss tuna weza.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni