Alhamisi, 14 Novemba 2013

MKONO WA POLE

Ni baada ya kufariki dunia kwa mheshimiwa Dr EDMONDI MVUNGI,baada ya kusha mbuliwa vibaya na majambazi wa sio julikana na kuondoka na baadhi ya nyaraka zake.

Raisi wa Jamuhuri ya muungano wa tanzania  Mh JAKAYA MRISHO KIKWETE apeleka salamu za pole kwa familia ya Dr edmond ikiambatana na kutia sain ktk kitabu cha kumbukumbu.

Mungu ailaze roho ya marehu DR EDMOND MVUNGI mahala pema peponi  AMEEN

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni