Alhamisi, 14 Novemba 2013

HANCY BLOG

Mwana dada mmoja amua kujianika live mtandaoni huku akiwa amejivalia nguo ambayo ina muonyesha kama vile hakuna kitu chochote.

Kwasasa imekua kumekua na hali ya kusikitisha kwa wanadada hao ambo wamekua waki weka picha zao kwenye mitandao ya kijamii

Huku nikuji zalilisha

Hivi kweli tutafika kama mambo yenyewe ndio hivi Wakina dada kwa kweli mnatakiwa mbadilike na kua mfano wa kuigwa kwani huu ni uzalilushaji. Hembu jitunze na ujiheshimu halafu uone kwako mambo ya takavyo kua yani kila mtu atakuheshimu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni